6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+
18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini.
18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+