Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Na Daudi akaendelea kukimbia, akasimama juu ya yule Mfilisti. Halafu akachukua upanga wake+ na kuuchomoa kutoka ndani ya ala yake, na kumuua kabisa alipoutumia kukikata kichwa chake.+ Nao Wafilisti wakaona kwamba mwanamume wao mwenye nguvu amekufa, nao wakaanza kukimbia.+

  • 1 Samweli 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu.

  • 2 Wafalme 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba mara tu barua ile ilipowafikia, wakawachukua wale wana wa mfalme na kuwachinja, watu 70,+ kisha wakaviweka vichwa vyao ndani ya vikapu, wakampelekea kule Yezreeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki