2 Samweli 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu. Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Usishirikiane na watu wanaotaka badiliko.+ Wagalatia 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,
12 Na zaidi ya hayo, alipotoa dhabihu, Absalomu akatuma watu kumchukua Ahithofeli+ Mgiloni,+ mshauri wa Daudi,+ kutoka katika Gilo+ jiji lake. Na hila+ hiyo ikaendelea kupata nguvu, na hesabu ya watu ikaendelea kuongezeka+ sikuzote kwa Absalomu.
20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,