23 Na shauri la Ahithofeli, aliloshauri siku hizo, lilikuwa kama inavyokuwa wakati mtu ameuliza juu ya neno la Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo lilivyokuwa shauri+ lote la Ahithofeli+ kwa Daudi na pia kwa Absalomu.
14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu.