Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na shauri la Ahithofeli, aliloshauri siku hizo, lilikuwa kama inavyokuwa wakati mtu ameuliza juu ya neno la Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo lilivyokuwa shauri+ lote la Ahithofeli+ kwa Daudi na pia kwa Absalomu.

  • 2 Samweli 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Hushai Mwarki ni bora+ kuliko shauri la Ahithofeli!” Na Yehova alikuwa ametoa amri+ shauri la Ahithofeli livunjwe+ ingawa lilikuwa jema,+ ili Yehova alete msiba+ juu ya Absalomu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki