30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+
20 Lakini Amazia hakusikiliza; kwa maana jambo hilo lilitoka kwa Mungu wa kweli+ kwa kusudi la kuwatia mkononi mwake, kwa sababu walikuwa wameitafuta miungu ya Edomu.+