15 Na mfalme hakuwasikiliza watu,+ kwa sababu Yehova ndiye aliyeongoza mambo,+ ili atimize neno+ lake ambalo Yehova alimwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya+ Mshilo.
7 Lakini kuanguka+ kwa Ahazia kulitokana na Mungu,+ alipomjia Yehoramu; naye alipokuja, alienda+ pamoja na Yehoramu kwa Yehu+ mjukuu wa Nimshi,+ ambaye Yehova alikuwa amemtia mafuta+ ili aikatilie mbali nyumba ya Ahabu.+