4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+
15 Na mfalme hakuwasikiliza watu; kwa maana Mungu wa kweli+ ndiye aliyeongoza mambo ili Yehova atimize neno+ lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati+ kupitia Ahiya+ Mshilo.+