Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kisasi ni changu, na malipo.+

      Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+

      Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+

      Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+

  • Waamuzi 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na mfalme hakuwasikiliza watu; kwa maana Mungu wa kweli+ ndiye aliyeongoza mambo ili Yehova atimize neno+ lake alilomwambia Yeroboamu mwana wa Nebati+ kupitia Ahiya+ Mshilo.+

  • Zaburi 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova anajulikana kwa hukumu ambayo ametekeleza.+

      Mwovu amenaswa na utendaji wa mikono yake mwenyewe.+

      Higayoni. Sela.

  • Amosi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Je, baragumu ikipigwa katika jiji, watu wenyewe pia hawatetemeki?+ Je, msiba ukitokea katika jiji, Yehova siye pia aliyetenda?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki