Waamuzi 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini wazazi wake hawakujua kwamba Yehova aliongoza jambo hilo, kwa sababu Alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa Wafilisti walikuwa wakiwatawala Waisraeli wakati huo.+
4 Lakini wazazi wake hawakujua kwamba Yehova aliongoza jambo hilo, kwa sababu Alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa Wafilisti walikuwa wakiwatawala Waisraeli wakati huo.+