Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+

  • Waamuzi 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ na hivyo Yehova akawatia mkononi mwa Wafilisti+ kwa miaka 40.

  • Waamuzi 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi watu elfu tatu wa Yuda wakashuka kwenye mpasuko wa mwamba Etamu,+ wakamwambia Samsoni: “Je, hujui kwamba Wafilisti wanatutawala?+ Basi jambo hili ambalo umetutendea linamaanisha nini?” Ndipo akawaambia: “Nimewatendea wao kama walivyonitendea mimi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki