Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 24:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Na ikiwa mtu ataipiga nafsi yoyote ya mwanadamu kiasi cha kuiua, lazima atauawa.+

  • Waamuzi 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo Adoni-bezeki akasema: “Kumekuwa na wafalme 70 wakiokota chakula chini ya meza yangu, ambao vidole gumba vya mikono yao na vidole vikubwa vya miguu yao vimekatwa. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.”+ Baadaye wakamleta Yerusalemu+ naye akafia huko.

  • Waamuzi 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Samsoni akawaambia: “Mkifanya hivi, sina jambo lingine isipokuwa kujilipiza kisasi juu yenu,+ kisha nitaachia hapo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki