Mwanzo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu. Hesabu 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+ Waamuzi 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+
6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.
16 “‘Sasa ikiwa amempiga kwa chombo cha chuma akafa, yeye ni muuaji wa kukusudia.+ Lazima muuaji huyo wa kukusudia auawe.+
4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+