Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na ikawa kwamba wakati Farao alipowaruhusu watu waende zao, Mungu hakuwaongoza kupitia njia ya nchi ya Wafilisti kwa kuwa tu ilikuwa karibu, kwa maana Mungu alisema: “Huenda hao watu watajuta watakapoona vita nao hakika watarudi Misri.”+

  • Yoshua 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hii ndiyo nchi ambayo bado imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti+ na Wageshuri+ wote

  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • Waamuzi 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hivyo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ naye akawauza+ mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa wana wa Amoni.+

  • 1 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakamsahau Yehova, Mungu wao,+ naye akawauza+ mkononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa mfalme wa Moabu,+ nao wakaendelea kupiga vita juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki