Kumbukumbu la Torati 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+ Waamuzi 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+ Zaburi 106:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wakawa wasio safi kwa sababu ya kazi zao+Na wakaendelea kufanya uasherati kwa matendo yao.+
18 Mwamba aliyekuzaa wewe, ulimsahau,+Nawe ukaanza kumwondoa Mungu katika kumbukumbu, yule anayekutokeza kwa uchungu wa kuzaa.+
12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+