16 Ndipo utakapolazimika kuwachukua baadhi ya binti zao kwa ajili ya wana wako,+ na binti zao hakika watafanya uasherati na miungu yao na kuwafanya wana wako wafanye uasherati na miungu yao.+
7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’
39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+
9 Na ukahaba wake ulifanyika kwa sababu ya maoni yake ya kipuuzi, naye aliendelea kuitia nchi unajisi+ na kufanya uzinzi pamoja na mawe na pamoja na miti;+
30 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, ninyi mnajitia unajisi katika njia za mababu zenu,+ na je, katika kufuatilia machukizo yao mnaingilia kufanya uasherati?+