Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo utakapolazimika kuwachukua baadhi ya binti zao kwa ajili ya wana wako,+ na binti zao hakika watafanya uasherati na miungu yao na kuwafanya wana wako wafanye uasherati na miungu yao.+

  • Mambo ya Walawi 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo hawapaswi tena kutoa dhabihu zao kwa wale roho waovu wenye umbo la mbuzi+ wanaofanya uasherati+ pamoja nao. Hiyo itakuwa sheria kwenu mpaka wakati usio na kipimo, katika vizazi vyenu vyote.”’

  • Hesabu 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+

  • Yeremia 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ukahaba wake ulifanyika kwa sababu ya maoni yake ya kipuuzi, naye aliendelea kuitia nchi unajisi+ na kufanya uzinzi pamoja na mawe na pamoja na miti;+

  • Ezekieli 20:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, ninyi mnajitia unajisi katika njia za mababu zenu,+ na je, katika kufuatilia machukizo yao mnaingilia kufanya uasherati?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki