Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na itatukia kwamba wakati ambapo mtu atakuwa amesikia maneno ya kiapo hiki,+ naye amejibariki moyoni mwake, na kusema, ‘Nitakuwa na amani,+ ijapokuwa nitatembea katika ukaidi wa moyo wangu,’+ kwa kusudi la kumfagilia mbali aliyenyweshwa maji vizuri pamoja na mwenye kiu,

  • Waamuzi 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+

  • Ayubu 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ikiwa hatua zangu zinageuka kutoka katika njia,+

      Au moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu tu,+

      Au kasoro yoyote imeshikamana na mikono yangu,+

  • Yeremia 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 lakini waliendelea kufuata ukaidi wa moyo+ wao na sanamu za Baali,+ ambazo baba zao walikuwa wamewafundisha;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki