Kumbukumbu la Torati 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+ Kumbukumbu la Torati 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+ Waamuzi 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+ Methali 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+ Methali 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Njia zote za mwanadamu ni safi machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anazipima roho.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+
8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+
28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+
25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+