Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+

  • Kumbukumbu la Torati 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Na itatukia kwamba ikiwa hakika utaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wako kwa kuwa mwangalifu kutenda amri zake zote ninazokuamuru leo,+ Yehova Mungu wako atakuweka juu, juu ya mataifa mengine yote ya dunia.+

  • Waamuzi 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+

  • Methali 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna njia ambayo imenyooka mbele ya mwanadamu,+ lakini njia za kifo ndizo mwisho wake baadaye.+

  • Methali 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Njia zote za mwanadamu ni safi machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anazipima roho.+

  • Methali 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki