Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+

  • Kumbukumbu la Torati 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.

  • Waamuzi 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+

  • 1 Samweli 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Samweli akamwona Sauli, naye Yehova akamjibu: “Huyu ndiye mtu niliyekuambia, ‘Huyu ndiye atakayewazuia watu wangu wasipite mipaka.’”+

  • Methali 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki