Kumbukumbu la Torati 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+ Kumbukumbu la Torati 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. Waamuzi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+ 1 Samweli 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Samweli akamwona Sauli, naye Yehova akamjibu: “Huyu ndiye mtu niliyekuambia, ‘Huyu ndiye atakayewazuia watu wangu wasipite mipaka.’”+ Methali 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mtegemee Yehova kwa moyo wako wote+ wala usitegemee uelewaji wako mwenyewe.+
8 “Msifanye kulingana na mambo yote ambayo tunafanya hapa leo, kila mmoja lolote linaloonekana kuwa sawa machoni pake mwenyewe,+
18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+
17 Na Samweli akamwona Sauli, naye Yehova akamjibu: “Huyu ndiye mtu niliyekuambia, ‘Huyu ndiye atakayewazuia watu wangu wasipite mipaka.’”+