Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anayetegemea moyo wake mwenyewe ni mjinga,+ lakini yeye anayetembea katika hekima ndiye atakayeponyoka.+

  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Yeremia 10:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ninajua vema, Ee Yehova, kwamba njia ya mtu wa udongo haimo katika uwezo wake. Mwanadamu anayetembea hana uwezo wa kuongoza hatua yake.+

  • 1 Wakorintho 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki