Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+ Yakobo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.
28 Naye akamwambia mwanadamu,‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+
13 Ni nani aliye na hekima na mwenye uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kutokana na mwenendo wake mzuri matendo+ yake kwa upole ulio wa hekima.