Kumbukumbu la Torati 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+ Danieli 4:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+ 1 Wakorintho 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo yeyote asiwe akijisifu katika watu; kwa maana vitu vyote ni vyenu,+
17 nawe useme moyoni mwako, ‘Nguvu zangu mwenyewe na uwezo kamili wa mkono wangu mwenyewe zimenifanyizia mali hii.’+
16 Hakuna mfalme anayeokolewa kwa wingi wa majeshi yake;+Mtu mwenye nguvu haokolewi kwa wingi wa nguvu.+
30 Mfalme alikuwa anasema:+ “Je, hili si Babiloni Mkubwa, ambalo mimi mwenyewe nimelijenga kwa ajili ya nyumba ya kifalme kwa nguvu za uwezo wangu+ na kwa ajili ya heshima ya utukufu wa enzi yangu?”+