Zaburi 44:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+ Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
5 Kupitia wewe tutawasukuma wapinzani wetu;+Katika jina lako tutawakanyagia chini wale wanaosimama dhidi yetu.+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+