Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Efraimu anaendelea kusema, ‘Kwa kweli nimekuwa tajiri;+ nimejipatia vitu vyenye thamani.+ Na kuhusu kazi yangu yote ya kutaabika, hawatanipata nikiwa na kosa lililo dhambi.’+

  • Habakuki 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndiyo sababu yeye huutolea dhabihu wavu wake wa kukokota na kuufukizia wavu wake wa kuvulia moshi wa dhabihu; kwa maana kwa vitu hivyo fungu lake limetiwa mafuta ya kutosha, na chakula chake ni chenye afya.+

  • 1 Wakorintho 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti+ na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea,+ kwa nini unajisifu+ kana kwamba hukukipokea?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki