Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+

  • Yeremia 9:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+

  • Zekaria 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ambalo wanunuzi wake huwaua+ ingawa hawahesabiwi hatia.+ Na wale wanaowauza+ husema: “Yehova abarikiwe, huku nami nitapata utajiri.”+ Na wachungaji wao wenyewe hawawaonyeshi huruma yoyote.’+

  • Ufunuo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu unasema: “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote hata kidogo,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu+ na uchi,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki