2 Petro 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ikiwa mambo hayo hayapo ndani ya yeyote, yeye ni kipofu, akifunga macho yake yasione nuru,+ naye amesahau+ kutakaswa+ kwake kutoka katika dhambi zake za zamani za kale.
9 Kwa maana ikiwa mambo hayo hayapo ndani ya yeyote, yeye ni kipofu, akifunga macho yake yasione nuru,+ naye amesahau+ kutakaswa+ kwake kutoka katika dhambi zake za zamani za kale.