Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akasema: “Ni salama. Bwana+ wangu amenituma,+ kusema, ‘Tazama! Vijana wawili wamenijia sasa hivi kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu, kutoka kwa wana wa manabii.+ Tafadhali, wape talanta moja ya fedha na mavazi mawili.’”+

  • Methali 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Urithi hupatikana kwa pupa mwanzoni,+ lakini wakati wake ujao hautabarikiwa.+

  • Yeremia 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+

  • 1 Timotheo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki