22 Naye akasema: “Ni salama. Bwana+ wangu amenituma,+ kusema, ‘Tazama! Vijana wawili wamenijia sasa hivi kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu, kutoka kwa wana wa manabii.+ Tafadhali, wape talanta moja ya fedha na mavazi mawili.’”+
11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+
9 Hata hivyo, wale ambao wameazimia kuwa matajiri huanguka katika jaribu+ na mtego na tamaa nyingi za kijinga na zenye kudhuru,+ ambazo hutumbukiza watu katika maangamizi na uharibifu.+