Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Methali 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kupata hazina kwa ulimi wa uwongo ni pumzi inayopeperushwa,+ kwa wale wanaotafuta kifo.+ Wakolosai 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Msiwe mkiambiana uwongo.+ Uvueni utu wa zamani+ pamoja na mazoea yake,