Mwanzo 36:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu+ kabla ya mfalme yeyote kuwatawala wana wa Israeli.+ Kumbukumbu la Torati 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+ Waamuzi 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+
31 Sasa hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu+ kabla ya mfalme yeyote kuwatawala wana wa Israeli.+
5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+
18 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+