Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa hawa ndio wafalme waliotawala katika nchi ya Edomu+ kabla ya mfalme yeyote kuwatawala wana wa Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naye akawa mfalme katika Yeshuruni,+

      Wakati ambapo walio vichwa vya watu walikusanyika pamoja,+

      Hesabu kamili ya makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki