Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+

  • Yoshua 19:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Na eneo la wana wa Dani lilifanya wafinyane mno.+ Nao wana wa Dani wakapanda na kupiga vita juu ya Leshemu+ na kuliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga. Ndipo wakalimiliki na kukaa ndani yake, nao wakaliita Leshemu jina Dani, kulingana na jina la Dani babu yao.+

  • Waamuzi 1:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na Waamori wakaendelea kuwasukuma wana wa Dani+ mpaka ndani ya lile eneo lenye milima, kwa maana hawakuwaruhusu washuke kuja chini katika nchi tambarare ya chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki