Waamuzi 18:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hizo hakukuwa na mfalme katika Israeli.+ Na siku hizo watu wa kabila la Dani+ walikuwa wakitafuta mahali pa kukaa, kwa sababu kufikia wakati huo hawakuwa wamepata urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.+
18 Siku hizo hakukuwa na mfalme katika Israeli.+ Na siku hizo watu wa kabila la Dani+ walikuwa wakitafuta mahali pa kukaa, kwa sababu kufikia wakati huo hawakuwa wamepata urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.+