24 Ndipo Samweli akawaambia watu wote: “Je, mmemwona yule ambaye Yehova amemchagua,+ kwamba hakuna yeyote kama yeye kati ya watu wote?” Nao watu wote wakaanza kupiga kelele na kusema: “Mfalme na aishi!”+
17 Na Samweli akaendelea kusema: “Je, haikuwa wakati ulipokuwa mdogo machoni pako mwenyewe+ kwamba ukawa kichwa cha makabila ya Israeli, na Yehova akakutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli?