1 Samweli 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Samweli akamwambia: “Je, hukujiona kuwa mtu asiyefaa+ ulipowekwa kuwa kiongozi wa makabila ya Israeli na Yehova alipokutia mafuta kuwa mfalme wa Israeli?+
17 Samweli akamwambia: “Je, hukujiona kuwa mtu asiyefaa+ ulipowekwa kuwa kiongozi wa makabila ya Israeli na Yehova alipokutia mafuta kuwa mfalme wa Israeli?+