1 Samweli 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo Sauli akasema: “Je, mimi si Mbenjamini kutoka katika kabila dogo zaidi kati ya makabila ya Israeli,+ na je, familia yangu si familia ya chini kabisa kati ya familia zote za kabila la Benjamini? Basi kwa nini unaniambia hivyo?” 1 Samweli 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo wakamuuliza Yehova:+ “Je, mtu huyo tayari amefika hapa?” Yehova akajibu: “Ndiye yule pale, amejificha kati ya mizigo.”
21 Ndipo Sauli akasema: “Je, mimi si Mbenjamini kutoka katika kabila dogo zaidi kati ya makabila ya Israeli,+ na je, familia yangu si familia ya chini kabisa kati ya familia zote za kabila la Benjamini? Basi kwa nini unaniambia hivyo?”
22 Kwa hiyo wakamuuliza Yehova:+ “Je, mtu huyo tayari amefika hapa?” Yehova akajibu: “Ndiye yule pale, amejificha kati ya mizigo.”