1 Samweli 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Samweli akaendelea kusema: “Je, haikuwa wakati ulipokuwa mdogo machoni pako mwenyewe+ kwamba ukawa kichwa cha makabila ya Israeli, na Yehova akakutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli?
17 Na Samweli akaendelea kusema: “Je, haikuwa wakati ulipokuwa mdogo machoni pako mwenyewe+ kwamba ukawa kichwa cha makabila ya Israeli, na Yehova akakutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli?