Hesabu 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+ Waamuzi 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+
39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+
6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+