Hesabu 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Mnapaswa kutengeneza upindo huo wa nyuzinyuzi ili muuone na kukumbuka amri zote za Yehova na kuzishika.+ Msifuate mioyo yenu na macho yenu, ambayo yanawaongoza kwenye ukahaba wa kiroho.+ Hesabu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:39 w11 7/15 12-13; w03 7/15 13 Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:39 Mnara wa Mlinzi,7/15/2011, kur. 12-137/15/2003, uku. 13
39 ‘Mnapaswa kutengeneza upindo huo wa nyuzinyuzi ili muuone na kukumbuka amri zote za Yehova na kuzishika.+ Msifuate mioyo yenu na macho yenu, ambayo yanawaongoza kwenye ukahaba wa kiroho.+