Hesabu 15:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+ Hesabu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:39 w11 7/15 12-13; w03 7/15 13 Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:39 Mnara wa Mlinzi,7/15/2011, kur. 12-137/15/2003, uku. 13
39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+