Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini Gideoni akawaambia: “Mimi mwenyewe sitatawala juu yenu, wala mwanangu hatatawala juu yenu.+ Yehova ndiye atakayetawala juu yenu.”+

  • Waamuzi 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+

  • Waamuzi 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi ikawa katika siku hizo kwamba hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na ikawa kwamba Mlawi fulani alikuwa anakaa kwa muda katika sehemu za mbali zaidi za eneo lenye milima la Efraimu.+ Baadaye akachukua suria+ kutoka Bethlehemu+ katika Yuda awe mke wake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki