18Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+
19Basi ikawa katika siku hizo kwamba hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na ikawa kwamba Mlawi fulani alikuwa anakaa kwa muda katika sehemu za mbali zaidi za eneo lenye milima la Efraimu.+ Baadaye akachukua suria+ kutoka Bethlehemu+ katika Yuda awe mke wake.