18Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+
5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.”