Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mtu alikuwa akifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe kulingana na alivyozoea kufanya.+

  • Waamuzi 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Na katika siku hizo kabila la Wadani+ walikuwa wakijitafutia urithi ili wakae humo; kwa sababu kufikia wakati huo, urithi haukuwa umewaangukia katikati ya makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli.+ Kila mmoja alikuwa na mazoea ya kufanya yaliyokuwa mema machoni pake mwenyewe.+

  • 1 Samweli 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda wanaume wazee wote wa Israeli+ wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli katika Rama

  • 1 Samweli 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki