Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye Musa akachagua wanaume wenye uwezo kutoka Israeli lote na kuwapa vyeo vya kuwa vichwa juu ya watu,+ kuwa wakuu wa maelfu, wakuu wa mamia, wakuu wa 50 na wakuu wa makumi.

  • Waamuzi 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo wanaume wazee wa kusanyiko wakasema: “Tutawatendea nini wale wanaume ambao wamebaki kuhusiana na wake, kwa maana wanawake wameangamizwa kutoka katika Benyamini?”

  • 1 Samweli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”

  • 2 Samweli 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+

  • 1 Wafalme 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaita wanaume wazee wa nchi+ na kusema: “Tafadhali angalieni, oneni kwamba mtu huyu anatafuta msiba;+ kwa maana alituma watu kwangu kuchukua wake zangu na wanangu na fedha yangu na dhahabu yangu, nami sikumnyima vitu hivyo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki