2 Samweli 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mtu asiye na kosa, mwenye nguvu, utatenda kwa njia isiyo na kosa;+ Methali 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa kushika mapito ya hukumu,+ naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+
26 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mtu asiye na kosa, mwenye nguvu, utatenda kwa njia isiyo na kosa;+