Waamuzi 19:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika siku hizo, wakati ambapo hakukuwa na mfalme katika Israeli,+ Mlawi fulani aliyekuwa akiishi mbali katika eneo lenye milima la Efraimu+ alimwoa suria kutoka Bethlehemu+ kule Yuda.
19 Katika siku hizo, wakati ambapo hakukuwa na mfalme katika Israeli,+ Mlawi fulani aliyekuwa akiishi mbali katika eneo lenye milima la Efraimu+ alimwoa suria kutoka Bethlehemu+ kule Yuda.