Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 ‘Nao utakuwa upindo wenye nyuzinyuzi kwa ajili yenu, nanyi mtauona na kukumbuka amri+ zote za Yehova na kuzishika, wala hamtaifuata mioyo yenu na macho yenu,+ ambayo mnayafuata katika uasherati.+

  • Mhubiri 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ewe kijana, shangilia+ katika ujana wako, na moyo wako ukufanyie mema siku za ujana wako, nawe utembee katika njia za moyo wako na katika mambo ambayo macho yako yameona.+ Lakini ujue kwamba kwa ajili ya mambo yote hayo, Mungu wa kweli atakuleta hukumuni.+

  • Ezekieli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na walioponyoka kati yenu hakika watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka,+ kwa kuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao wenye kufanya uasherati ambao umegeuka na kuniacha+ na macho yao yanayozifuata sanamu zao za mavi katika uasherati;+ na nyuso zao hakika zitachukizwa na mambo mabaya ambayo wamefanya katika machukizo yao yote.+

  • Mathayo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ikiwa, sasa, hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike, ling’oe ulitupilie mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote utupwe+ ndani ya Gehena.*

  • 1 Yohana 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki