Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 64:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+

  • Ezekieli 20:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Nanyi hakika mtakumbuka huko njia zenu na matendo yenu yote+ ambayo mlijitia unajisi kwa hayo,+ nanyi hakika mtajichukia mbele ya nyuso zenu wenyewe kwa sababu ya mambo yenu yote mabaya ambayo mliyatenda.+

  • Ezekieli 36:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki