6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+
43 Nanyi hakika mtakumbuka huko njia zenu na matendo yenu yote+ ambayo mlijitia unajisi kwa hayo,+ nanyi hakika mtajichukia mbele ya nyuso zenu wenyewe kwa sababu ya mambo yenu yote mabaya ambayo mliyatenda.+
31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+