Mambo ya Walawi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ikiwa mwanamke atachukua mimba+ na kuzaa mtoto wa kiume, atakuwa asiye safi kwa siku saba; kama vile katika siku za uchafu wakati anapokuwa na hedhi atakuwa asiye safi.+ Mambo ya Walawi 15:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na kitu chochote ambacho atalalia katika uchafu wake wa hedhi kitakuwa si safi,+ na kila kitu ambacho atakalia kitakuwa si safi.
2 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Ikiwa mwanamke atachukua mimba+ na kuzaa mtoto wa kiume, atakuwa asiye safi kwa siku saba; kama vile katika siku za uchafu wakati anapokuwa na hedhi atakuwa asiye safi.+
20 Na kitu chochote ambacho atalalia katika uchafu wake wa hedhi kitakuwa si safi,+ na kila kitu ambacho atakalia kitakuwa si safi.