-
Ezekieli 6:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Na walioponyoka kati yenu hakika watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka,+ kwa kuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao wenye kufanya uasherati ambao umegeuka na kuniacha+ na macho yao yanayozifuata sanamu zao za mavi katika uasherati;+ na nyuso zao hakika zitachukizwa na mambo mabaya ambayo wamefanya katika machukizo yao yote.+
-
-
Zekaria 12:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 “Nami nitamimina juu ya nyumba ya Daudi na juu ya wakaaji wa Yerusalemu roho ya kibali+ na maombi,+ nao watamtazama Yule waliyemchoma,+ nao wataomboleza juu Yake kama kuombolezea mwana wa pekee; na kutakuwa na maombolezo machungu juu yake kama vile kunapokuwa na maombolezo juu ya mwana mzaliwa wa kwanza.+
-