Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nawe usikilize kusihi kwa mtumishi+ wako na kwa watu wako Israeli wanaposali kuelekea mahali hapa,+ ili wewe usikie ukiwa katika makao yako, ukiwa mbinguni;+ nawe usikie na kusamehe.+

  • Zaburi 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Uisikie sauti ya kusihi kwangu ninapokulilia unisaidie,

      Wakati ninapoinua mikono+ yangu katika chumba cha ndani kabisa cha mahali pako patakatifu.+

  • Yeremia 31:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watakuja wakilia,+ nami nitawaleta wakiwa na maombi yao ya kusihi wakitaka kibali. Nitawatembeza kwenye mabonde ya mito ya maji,+ katika njia iliyo sawa ambayo ndani yake hawatakwazwa. Kwa maana mimi nimekuwa Baba kwa Israeli;+ naye Efraimu, yeye ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki