14 na watu wangu+ ambao jina langu limeitwa+ juu yao wajinyenyekeze+ na kusali+ na kuutafuta uso wangu+ na wageuke kutoka katika njia zao mbaya,+ basi mimi nitasikia nikiwa mbinguni+ na kusamehe dhambi yao,+ nami nitaiponya nchi yao.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+