20 Na Isaya mwana wa Amozi akatuma habari kwa Hezekia, na kusema: “Yehova, Mungu wa Israeli amesema hivi,+ ‘Nimeisikia+ sala+ ambayo umenitolea kumhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru.
27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+