Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini mmoja wa hao askari-jeshi akauchoma ubavu wake kwa mkuki,+ na mara moja damu na maji vikatoka.

  • Yohana 19:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na, tena, andiko tofauti linasema: “Watamtazama Yule waliyemchoma.”+

  • Yohana 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Halafu akamwambia Tomasi: “Weka kidole chako hapa, uone mikono yangu, na chukua mkono+ wako utie ndani ya ubavu wangu, na uache kuwa asiyeamini bali uwe mwenye kuamini.”

  • Ufunuo 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona,+ na wale waliomchoma;+ na makabila yote ya dunia yatajipiga-piga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki