Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu+ ya mbingu; naye akaja kwa Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu mbele zake Yule.+

  • Mathayo 26:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Yesu akamwambia:+ “Wewe mwenyewe umesema.+ Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa+ mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”+

  • Marko 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo watakapomwona Mwana wa binadamu+ akija katika mawingu akiwa na nguvu nyingi na utukufu.+

  • Matendo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 nao wakasema: “Wanaume wa Galilaya, kwa nini mnasimama mkitazama angani? Yesu huyu aliyepokewa juu angani kutoka kwenu atakuja vivyo hivyo+ kama vile ambavyo mmemwona akienda angani.”

  • 1 Wathesalonike 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Baadaye sisi tulio hai tuliobaki tutanyakuliwa,+ pamoja nao,+ katika mawingu+ ili kukutana+ na Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana sikuzote.+

  • Ufunuo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikaona, na, tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu+ ameketi juu ya wingu lile, mwenye taji la dhahabu+ juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki